bofya

Sunday, May 25, 2014

USIKU WA MANGWEA MOROGORO, KIMENUKA (love concert)

Kuelekea maadhimisho ya Tamasha maalum la kumkumbuka mfalme wa FREE STYLE Tanzania Marehemu Albert Mangwe, baadhi ya maeneo ya Mjini Morogoro tayari kishanuka. Katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika siku ya TH 28 may, 2014 pale Samaki samaki Kihonda. Akizungumza na mtupa taarifa hizi, Mratib…

No comments:

Post a Comment